Nafasi za masomo!



MWALIMU OPEN SCHOOL CENTER
0755 680 878 0713 025 340

  www.facebook.com/GeofreyNgunya
 http://ngunya.blogspot.com/

Tunawakaribisha wahitimu wote wa darasa la saba kwenye masomo ya  
 PRE-FORM ONE 
yatakayo anza tarehe 14/09/2015 kwa miezi mitatu (3) mpaka tarehe  19/12/2015.
kwa masomo ya kiingereza, Kiswahili, Hisabati na masomo ya sayansi kwa vitendo.

Mwanafunzi wote watapatia vitu vifuatavyo bure:
 


(1)Peni. 

(2)Daftari.

(3)Kutalii maeneo mbalimbali kwa ajili ya kujifunza zaidi kwa vitendo ndani na nje ya Manispaa ya Morogoro.

(4)T - shirt moja sare ya shule.
 
NB;Wahi kuchukua fomu mapema nafasi ni chache tunahitaji wanafunzi 50 tunapatikana Morogoro mjini maeneo ya Oilcom nane nane tunatazamana na ALFAGEMS sekondari school au piga simu zetu zilizopo hapo juu.

WOTE MNAKARIBISHWA 

Maoni 1 :