Jumamosi, Septemba 12, 2015
Kreni yaua 107 mjini Mecca
Gavana katika eneo la Mecca ameamrisha kufanyika uchunguzi kufuatia kuanguka kwa kreni katika msikiti mkubwa zaidi duniani.Utawala
nchini Saudi Arabia unasema kuwa upepo mkali ndio ulisababisha kreni
iliyokuwa ikitumika kwa ujenzi kuanguka kwa msikiti mkubwa mjini mecca
ambapo watu 107 waliuawa na wengine takriban 200 kujeruhiwa.
Mkuu wa idara ya ulinzi wa angani nchini humo alisema kuwa kulikuwa na mvua kubwa wakati ajali hiyo ilipotokea na upepo ulikuwa ukivuma kwa takriban kilomita 83 kwa saa.
Msikiti huo unazunguka eneo takatifu la kiislamu la Kaaba na ndio msikiti mkubwa zaidi duniani na huwavutia mamia ya waislamu ambao huenda kuhiji kila mwaka.
Karibu watu milioni moja wamewasili nchini Saudi Arabia kabla ya sherehe za mwaka huu ambazo zinaanza wiki mbili zinazokuja.
Mkuu wa idara ya ulinzi wa angani nchini humo alisema kuwa kulikuwa na mvua kubwa wakati ajali hiyo ilipotokea na upepo ulikuwa ukivuma kwa takriban kilomita 83 kwa saa.
Msikiti huo unazunguka eneo takatifu la kiislamu la Kaaba na ndio msikiti mkubwa zaidi duniani na huwavutia mamia ya waislamu ambao huenda kuhiji kila mwaka.
Karibu watu milioni moja wamewasili nchini Saudi Arabia kabla ya sherehe za mwaka huu ambazo zinaanza wiki mbili zinazokuja.
kreni
iliyokuwa ikitumika kwa ujenzi kuanguka kwa msikiti mkubwa mjini Mecca
ambapo watu 107
Mamlaka ya hali ya hewa yatoa angalizo.

Mkurugenzi wa TMA, Agnes Kijazi.
Akizungumza kwenye hafla fupi ya kufunga mafunzo ya wataalamu
katika masuala ya ukame, kilimo, mafuriko na moto wa misituni
iliyohusisha sekta mbalimbali nchini, Mkurugenzi wa TMA, Agnes Kijazi,
alisema kuwa tangu walipotoa utabiri wa hali ya hewa kwa kipindi cha
mvua za vuli (Oktoba mpaka Desemba), wameendelea kufuatilia mabadiliko
ya joto katika Bahari ya Pacifiki na kugundua joto linazidi kuongezeka
na kwa sasa limefikia nyuzi joto 2.5 juu ya wastani.
Alisema kuwa kuongezeka kwa joto magharibi mwa Bahari ya Hindi
mpaka kufikia nyuzi joto 2.0 na kupungua kwa joto mashariki mwa Bahari
ya Hindi ni wazi maeneo mengi ya nchi yatakumbwa na mvua kubwa huku
ukanda wa bahari ya Pacifiki kukitarajiwa kuwa na mvua za El- nino.
Nafasi za masomo Pre - form one!
MWALIMU OPEN SCHOOL CENTER
0755 680 878
0713 025 340
0713 025 340
www.facebook.com/GeofreyNgunya
http://ngunya.blogspot.com/
Tunawakaribisha wahitimu wote wa darasa la saba kwenye masomo ya
PRE-FORM ONE
yatakayo anza tarehe 14/09/2015 kwa miezi mitatu (3) mpaka tarehe 19/12/2015.
kwa masomo ya kiingereza, Kiswahili, Hisabati na masomo ya sayansi kwa vitendo.
(1)Peni.
(2)Daftari.
(3)Kutalii maeneo mbalimbali kwa ajili ya kujifunza zaidi kwa vitendo ndani na nje ya Manispaa ya Morogoro.
(4)T - shirt moja sare ya shule.
NB;Wahi kuchukua fomu mapema nafasi ni chache tunahitaji wanafunzi 50 tunapatikana Morogoro mjini maeneo ya Oilcom nane nane tunatazamana na ALFAGEMS sekondari school au piga simu zetu zilizopo hapo juu.
WOTE MNAKARIBISHWA
Wanasiasa kuna maisha zaidi baada ya uchaguzi-Mwamalanga

Jumanne, Septemba 08, 2015
Nafasi za masomo!
MWALIMU OPEN SCHOOL CENTER
0755 680 878
0713 025 340
0713 025 340
www.facebook.com/GeofreyNgunya
http://ngunya.blogspot.com/
Tunawakaribisha wahitimu wote wa darasa la saba kwenye masomo ya
PRE-FORM ONE
yatakayo anza tarehe 14/09/2015 kwa miezi mitatu (3) mpaka tarehe 19/12/2015.
kwa masomo ya kiingereza, Kiswahili, Hisabati na masomo ya sayansi kwa vitendo.
(1)Peni.
(2)Daftari.
(3)Kutalii maeneo mbalimbali kwa ajili ya kujifunza zaidi kwa vitendo ndani na nje ya Manispaa ya Morogoro.
(4)T - shirt moja sare ya shule.
NB;Wahi kuchukua fomu mapema nafasi ni chache tunahitaji wanafunzi 50 tunapatikana Morogoro mjini maeneo ya Oilcom nane nane tunatazamana na ALFAGEMS sekondari school au piga simu zetu zilizopo hapo juu.
WOTE MNAKARIBISHWA
Tanesco hamjatenda haki, mngetoa taarifa mapema.

Shirika la Umeme nchini (Tanesco), juzi lilitangazia umma kwamba nchi nzima itakuwa gizani kwa takriban wiki nzima kuanzia jana.
Shirika hilo lilieleza kuwa hali hiyo inatokana na kuzimwa kwa
mitambo ya gesi inayozalisha umeme kutoka Songosongo mkoani Lindi.
Tanesco ilifafanua kuwa imechukua hatua hiyo kutokana na kazi ya
kuunganisha bomba la gesi kutoka Mtwara na mtambo wa umeme wa Kinyerezi
II.
Aidha, hali ya umeme ilitarajiwa kuwa mbaya zaidi jana kwa kuwa
mitambo yote ya kuzalisha nishati hiyo ilikuwa inatarajiwa kuzimwa ili
kufanikisha kazi hiyo.
Tunaamini kwamba dhamira ya Tanesco ni njema na imelenga kuboresha
utoaji huduma umeme nchini ambayo kwa miaka nenda rudi, imekuwa haikidhi
matarajio ya wateja wake na Watanzania kwa ujumla.
Jumamosi, Septemba 05, 2015
Jisajili kwenye:
Maoni (Atom)



